Ufahamu ni dhana inayorejelea kujua na kulielewa jambo kwa usahihi na kuweza kulielezea upya kwa usahihi bila kupoteza maana yake ya msingi. Ufahamu wa mtu waweza kupimwa katika kusikiliza jambo au katika kusoma.
Ili kitu kidumu ni lazima kihifadhiwe; fasihi simulizi kama sanaa kutokana na umuhimu wake katika jamii nayo huhufadhiwa kwa ajili ya faida ya kizazi kijacho. Katika mada hii utaweza kujifunza umuhimu wa fasihi simulizi katika jamii. Utajifunza njia mbalimbali zitumikazo…
Usimulizi ni jumla ya maelezo yanayotolewa na mtu au watu wengi kuhusu tukio fulani. Tukio hilo linaweza kutokea katika wakati mfupi uliopita au zamani kidogo.
Kazi za fasihi simulizi hazikutokea tu, zilitungwa. Mtu fulani alikaa na akatunga kazi fulani ambayo inajulikana katika jamii. Katika mada hii utajifunza kanuni mbalimbli zinazohusika na utunzi wa kazi za fasihi simulizi. Pia utapata fursa ya kujifunza jinsi ya kutunga…
Fasihi simulizi kama zilivyo kazi nyingine za fasihi andishi hufanyiwa uhakiki. Uhakiki huu huzingatia vipengele vya fani na maudhui ili kubainisha usanaa wa kazi husika pamoja na kile ilichokusudia kufikishwa kwa hadhira.
Matumizi ya lugha ni namna ambavyo wazungumzaji wa lugha hutumia lugha kwa kuzingatia mila, desturi na kaida mbalimbali za jamii inayohusika.
Kila mada inafundishwa kwa kutumia vitabu vya kiada vilivyopitishwa na wizara ya elimu, pamoja na nyenzo nyingine za ziada kama vile makala za magazeti, vipindi vya redio na televisheni, na mitandao ya kijamii. Lengo ni kuhakikisha wanafunzi wanapata maarifa na…
Lengo kuu la somo la Kiswahili ni kuwasaidia wanafunzi kuwa na ujuzi wa kutosha wa lugha hii, waweze kuitumia kwa ufasaha katika mawasiliano yao ya kila siku na pia waweze kuelewa na kuthamini fasihi na utamaduni wa Kiswahili.
Translation is a process by which ideas that are written in one language ar...
Are the abilities that allow you to write effectively and concisely. A competent...
Reading is the process of going through written information or piece of wor...
What is Speaking? SPEAKING SKILLS: Speaking is simply the act of talking wh...
Listening is ability to accurately receive and interpret messages in the communi...
This is the field or branch of morphology which studies different principles or ...
Language is a symbol system based on pure or arbitrary conventions…...
Ecology is the study of the interactions between living things, such as humans, ...
EVOLUTION Evolution is a change in the genetic composition of a population...
Genetics is the study of heredity and variationHeredity- is the passage of chara...