Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.Kufunga na kufungua kamba za mashua/kivuko;
ii.Kuchunga usalama wa abiria na magari yaliyomo ndani ya mashua/vivuko;
iii.Kupanga abiria au magari kwenye mashua/vivuko;
iv.Kuendesha na kuongoza mashua/vivuko;
v.Kutunza daftari za safari ya mashua/vivuko
vi.Kuhakikisha kwamba injini za vivuko zipo katika hali nzuri ya kufanya kazi; na
vii.Kuangalia mafuta na vyombo vingine vya kufanyia kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa Waliohitimu Mtihani wa Kidato cha Nne, wenye ujunzi wa kuendesha na kutunza mashua/vivuko uliothibitishwa na Chuo cha Dar es salaam Marine Institute au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali kwa muda usiopungua miaka miwili; na waliofuzu mafunzo ya miezi sita ya uokoaji wa maisha majini, kuogelea na kupanga watu na magari kwenye mashua/vivuko.
APPLICATION TIMELINE: 2025-05-20 2025-06-03
.
APPLY NOW
Employment Opportunity: Operations & Admin...
Before you can login, you must activate your a...
Job type: Full-timeE T Consultant- GFF Countr...
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Translation is a process by which ideas that are written in one language ar...
Are the abilities that allow you to write effectively and concisely. A competent...
Reading is the process of going through written information or piece of wor...
What is Speaking? SPEAKING SKILLS: Speaking is simply the act of talking wh...
Listening is ability to accurately receive and interpret messages in the communi...
This is the field or branch of morphology which studies different principles or ...
Language is a symbol system based on pure or arbitrary conventions…...
Ecology is the study of the interactions between living things, such as humans, ...
EVOLUTION Evolution is a change in the genetic composition of a population...
Genetics is the study of heredity and variationHeredity- is the passage of chara...