Wizara ya Afya
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
FUNDI SANIFU UJENZI II (TECHNICIAN CIVIL II)
i.Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;
ii.Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;
iii.Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;
iv.Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
i.Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;
ii.Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;
iii.Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za fundi ujenzi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
APPLICATION TIMELINE: 2025-03-06 2025-03-19
.
APPLY NOW
Founded in 1956, The Danish Refugee Council (D...
VACANCY ANNOUNCEMENTPosition: Admin and Accoun...
The Tanzania Revenue Authority (TRA) is a lead...
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Translation is a process by which ideas that are written in one language ar...
Are the abilities that allow you to write effectively and concisely. A competent...
Reading is the process of going through written information or piece of wor...
What is Speaking? SPEAKING SKILLS: Speaking is simply the act of talking wh...
Listening is ability to accurately receive and interpret messages in the communi...
This is the field or branch of morphology which studies different principles or ...
Language is a symbol system based on pure or arbitrary conventions…...
Ecology is the study of the interactions between living things, such as humans, ...
EVOLUTION Evolution is a change in the genetic composition of a population...
Genetics is the study of heredity and variationHeredity- is the passage of chara...