Orodha ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili NEC 2025 Dar es salaam, Usaili wa Uandikishaji wa wapiga kura NEC dar es salaam INEC, Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili NEC 2025 Mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni-Bvr, Temeke, Kigamboni, Ubungo-Mc & Ilala
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (National Electoral Commission – NEC) imetangaza rasmi orodha ya waombaji wa nafasi mbalimbali waliochaguliwa kuhudhuria katika hatua ya usaili kwa ajili ya ajira za muda zilizotangazwa. Usaili huu unahusu waombaji kutoka Mkoa wa Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi wa mwaka 2025.
NEC imesisitiza kuwa usaili huu ni hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa watumishi wa muda waliochaguliwa wanakidhi vigezo vya kazi wanazotarajiwa kufanya. Orodha ya walioitwa inajumuisha waombaji kutoka wilaya zote za Dar es Salaam, ikiwemo Ilala, Temeke, Kinondoni, Ubungo, na Kigamboni.
Bofya jina la wilaya hapa chini kupakua pdf yenye majina ya walioitwa kwenye usaili NEC kwa wilaya hiyo
Mapendekezo ya Mhariri:
Vacancy: Finance AssistantThe East, Central, ...
Job OverviewJob Title: Sales Lead- Distributi...
Job Opportunity Advertisement: Drones Operator...
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Translation is a process by which ideas that are written in one language ar...
Are the abilities that allow you to write effectively and concisely. A competent...
Reading is the process of going through written information or piece of wor...
What is Speaking? SPEAKING SKILLS: Speaking is simply the act of talking wh...
Listening is ability to accurately receive and interpret messages in the communi...
This is the field or branch of morphology which studies different principles or ...
Language is a symbol system based on pure or arbitrary conventions…...
Ecology is the study of the interactions between living things, such as humans, ...
EVOLUTION Evolution is a change in the genetic composition of a population...
Genetics is the study of heredity and variationHeredity- is the passage of chara...