Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitangaza nafasi 1,596 za ajira kwa wahitimu wa elimu na fani mbalimbali, ikiwakaribisha Watanzania wenye sifa na uwezo kutuma maombi yao kwa nafasi mbalimbali zilizotangazwa. Nafasi hizi zinajumuisha sekta tofauti ndani ya TRA, zikiwemo Idara ya Mapato ya Ndani, Forodha na Ushuru, Usimamizi na Utawala wa Rasilimali Watu, Huduma za Sheria, Menejimenti ya Manunuzi, Utafiti na Mipango, Fedha, Ukaguzi wa Ndani, Mambo ya Ndani pamoja na Idara ya Vihatarishi na Uzingatiaji.
TRA imetangaza nafasi katika kada mbalimbali ikiwa ni pamoja na:
TRA imeweka wazi kuwa mwisho wa kutuma maombi kwa nafasi zote za ajira zilizotangazwa ni leo, tarehe 19 Februari 2025 saa tana na dakika 59 usiku. Waombaji wanaohitaji nafasi hizi na bado hawajawasilisha maombi yao wanashauriwa kuhakikisha kuwa wamekamilisha mchakato wa maombi kwa muda uliopangwa ili kuepuka changamoto zozote za muda wa mwisho.
Mapendekezo ya Mhariri:
Job type: Full-timeJob DescriptionWe are seeki...
DescriptionThe Communications Intern will assi...
Job type: Full-timeAbout Four Seasons:Four Sea...
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Translation is a process by which ideas that are written in one language ar...
Are the abilities that allow you to write effectively and concisely. A competent...
Reading is the process of going through written information or piece of wor...
What is Speaking? SPEAKING SKILLS: Speaking is simply the act of talking wh...
Listening is ability to accurately receive and interpret messages in the communi...
This is the field or branch of morphology which studies different principles or ...
Language is a symbol system based on pure or arbitrary conventions…...
Ecology is the study of the interactions between living things, such as humans, ...
EVOLUTION Evolution is a change in the genetic composition of a population...
Genetics is the study of heredity and variationHeredity- is the passage of chara...