Redefining learning with free, accessible educational materials.
Majina waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo Jeshi la Uhamiaji 2025 | Walioitwa kwenye mafunzo uhamiaji 2025
Habari njema kwa vijana wote waliokuwa wakisubiri kwa hamu kujua kama wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya jeshi la Uhamiaji! Idara ya Uhamiaji Tanzania imetoa orodha ya majina ya vijana 331 waliofanikiwa kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya idara hiyo yatakayoanza Machi 1, 2025. Tangazo hili rasmi limetolewa na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji mnamo Februari 6, 2025, likiwa ni mwitikio wa zoezi la udahili lililofanyika hivi karibuni.
Wito huu unawahusu vijana wote walioomba nafasi za mafunzo katika kada mbalimbali za Uhamiaji, ikiwa ni pamoja na maafisa uhamiaji, wakaguzi wa mipaka, na maafisa wa uchunguzi. Ni fursa adhimu kwa vijana wa Kitanzania wenye ari ya kulitumikia taifa kupitia idara nyeti inayohusika na usalama wa mipaka, udhibiti wa uhamiaji, na utoaji wa vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini.
Endapo jina lako liko kwenye orodha, basi pongezi kwako! Lakini, ili kujihakikishia nafasi yako katika mafunzo haya, ni muhimu kuzingatia maelekezo yote yaliyotolewa na Idara ya Uhamiaji, ikiwemo kuripoti kwa wakati na kuwa na nyaraka zote muhimu.
Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, vijana waliopata nafasi ya mafunzo wanatakiwa kuripoti katika Chuo cha Uhamiaji cha Raphael Kubaga, kilichopo Boma Kichakamiba, Wilaya ya Mkinga, Mkoani Tanga. Wanafunzi wote wanapaswa kufika chuoni siku ya Jumamosi, Machi 1, 2025, kati ya saa 2:00 asubuhi hadi saa 8:00 mchana.
Kwa wale walioomba kupitia Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, wanapaswa kuripoti katika Afisi ya Uhamiaji Mkoa wa Kusini Unguja (Tunguu) siku ya Jumatatu, Februari 24, 2025, kuanzia saa 2:00 asubuhi.
Baada ya mchakato wa udahili uliohusisha vijana wengi kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania, Idara ya Uhamiaji imetoa orodha ya majina ya waombaji waliofanikiwa kupata nafasi ya kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Uhamiaji kwa mwaka 2025. Jedwali lifuatalo linaonyesha orodha kamili ya majina ya waliochaguliwa, likiwa limepangwa kwa alfabeti ili kurahisisha utafutaji.
Wanafunzi wanatakiwa kuripoti na nyaraka halisi zifuatazo:
Mwanafunzi yeyote atakayekosa nyaraka hizi hatapokelewa chuoni.
Wanafunzi wote wanapaswa kuja na vifaa na mahitaji yafuatayo:
Kwa wanafunzi ambao hawana baadhi ya vifaa hivi, vinaweza kupatikana katika Duka la Chuo kwa gharama zao binafsi.
Kwa Maelezo na taarifa zaidi tembelea tovuti rasmi ya Uhamiaji kupitia www.immigration.go.tz.
Mapendekezo ya Mhariri:
DEADLINE FOR APPLICATIONS18 February 2025-23:5...
Alpha Associates LimitedLocation: Dar es Sala...
Job OverviewJob Vacancies12 Job Opportunities ...
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ
What is Agriculture? Agriculture refers to a fundamental human activity, which i...
POPULATION STUDIES Is the general activities carried out for the purpose of acqu...
CONCEPT OF SOIL AND SOIL PROFILE Soil appears very complex and thus differe...
GROUND WATER WATER CYCLE Rain falls on the earth surface in filtrates (soaks int...
THEORIES THEORY OF ISOSTASY Denudation has been going on the continents where to...
GLOBE Is the model of the earth Earth Is ball of rock partly covered by wat...
Photograph are the true image pictures showing truly appearance of the earth’s...
What is a map? Map is a scaled conventional representation of the whole or any o...
INTRODUCTION TO SURVEYING Surveying is an art or a science of measuring and reco...
Definitions of Research – Research is the systematic investigation into a...
STATISTICS Statistics is a branch that deals with every aspect of the data. Stat...