Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Ualimu 2025 (Mikoa Mbalimbali) | Majina Ya Interview Ajira Za Ualimu 2025
Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi majina ya waombaji walioitwa kushiriki usaili wa nafasi za kazi za ualimu kwa mwaka 2025. Tangazo hili limekuja kama sehemu ya mchakato wa ajira za walimu 14,648 zilizotangazwa awali. Idadi ya waombaji walioonyesha nia ya kuajiriwa ni 201,707, hali inayodhihirisha ushindani mkubwa katika mchakato huu wa ajira.
Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, ametangaza kuwa usaili huu utafanyika kuanzia tarehe 14 Januari, 2025 hadi tarehe 24 Februari, 2025. Usaili umegawanywa katika hatua mbili kuu ambazo ni usaili wa kuandika na usaili wa mahojiano kwa wale watakao faulu usaili wa kuandika, na utahusisha vituo vilivyotengwa katika mikoa mbalimbali.
Majina ya walioitwa kwenye usaili kada ya Ualimu 2025 yamepangwa kwa kuzingatia kada na mikoa wanakotakiwa kufanya usaili. Hapa chini ni orodha ya baadhi ya mikoa pamoja na vituo vilivyo tangazwa kutumika kwa ajili ya usaili:
Mapendekezo ya Mhariri:
Wealth Capital Fund Limited (WeCF), a premier ...
Job type: Full-timeConsultant – Adolescent ...
Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili TRA Kut...
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ
Translation is a process by which ideas that are written in one language ar...
Are the abilities that allow you to write effectively and concisely. A competent...
Reading is the process of going through written information or piece of wor...
What is Speaking? SPEAKING SKILLS: Speaking is simply the act of talking wh...
Listening is ability to accurately receive and interpret messages in the communi...
This is the field or branch of morphology which studies different principles or ...
Language is a symbol system based on pure or arbitrary conventions…...
Ecology is the study of the interactions between living things, such as humans, ...
EVOLUTION Evolution is a change in the genetic composition of a population...
Genetics is the study of heredity and variationHeredity- is the passage of chara...