Nafasi Mpya za kazi Jeshi la Uhamiaji November 2024 | Nafasi Mpya za Ajira Uhamiaji 2024/2025
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, kwa mamlaka aliyopewa chini ya Kanuni Namba 11(1) ya Kanuni za Uendeshaji za Uhamiaji za Mwaka 2018, ametangaza rasmi nafasi mpya za ajira za Askari wa Uhamiaji kwa vijana wa Kitanzania. Tangazo hili linatoa fursa ya kipekee kwa vijana wenye sifa zinazostahili kujiunga na Idara ya Uhamiaji, mojawapo ya taasisi muhimu za usalama na huduma nchini Tanzania.
Ili kuomba nafasi hizi, waombaji wanapaswa kutimiza vigezo vifuatavyo:
Ili kuwa na nafasi ya kuajiriwa, mwombaji lazima atimize sifa maalum zilizowekwa na Idara ya Uhamiaji. Hapa ni baadhi ya sifa muhimu ambazo kila mwombaji lazima awe nazo:
Maombi yatakayopewa kipaumbele ni ya waombaji wenye taaluma katika fani mbalimbali, ikiwa ni pamoja na:
Waombaji wanatakiwa kutuma maombi yao kupitia tovuti rasmi ya Idara ya Uhamiaji (immigration.go.tz) kuanzia tarehe 29 Novemba, 2024 hadi 13 Disemba, 2024. Nyaraka zifuatazo zinapaswa kuambatishwa kwa mfumo wa PDF (zisiwe na ukubwa zaidi ya 300KB):
Bofya hapa Kutuma Maombi
Wakati wa kufanya Maombi, Mwombaji anatakiwa kuambatisha (upload) kwenye mfumo wa Ajira nyaraka zilizo katika mfumo wa PDF na picha ya mwombaji (passportsize) katika mfumo wa jpg/png na kila Nyaraka moja isizidi ukubwa wa 300Kb.
Orodha ya nyaraka hizo ni kama ifuatavyo;
Tahadhari Muhimu
Mapendekezo ya Mhariri:
Job type: Full-timeJob PurposeImplementing wo...
SOS Children’s Villages Vacancy Announcement...
Job Description: T24 Application and Digital C...
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ
Translation is a process by which ideas that are written in one language ar...
Are the abilities that allow you to write effectively and concisely. A competent...
Reading is the process of going through written information or piece of wor...
What is Speaking? SPEAKING SKILLS: Speaking is simply the act of talking wh...
Listening is ability to accurately receive and interpret messages in the communi...
This is the field or branch of morphology which studies different principles or ...
Language is a symbol system based on pure or arbitrary conventions…...
Ecology is the study of the interactions between living things, such as humans, ...
EVOLUTION Evolution is a change in the genetic composition of a population...
Genetics is the study of heredity and variationHeredity- is the passage of chara...